|
|
 |
|
Maana
-
“Hatua
ya mawasiliano inamruhusu mtafiti kupanga, kutumia, na
kutoa ujuzi unaofaa kutokana na maswali ya awali ya
utafiti. Wanaandaa
ujuzi mpya na wanaunda ili wapate zao lake.
Waalimu wenye utaalamu wa maktaba wanatarajiwa
kuwapa moyo wanafunzi kuchangua njia na mbinu nzuri za
mawasiliano kuliko kuangalia muundo wenyewe wa habari.
Hii itawaruhusu wanafunzi kuweza kuwa na mbinu
nyingi za kuwasilisha ujuzi wao pindi wanapowasiliana.”
-
Note.
Pathways to Knowledge
(www.pathwaysmodel.com),
by M.L. Pappas and A.E. Tepe, 1997, is used with
permission from Follett Software Company. Copyright by
Follett Software Company, 1391 Corporate Drive,
McHenry, Illinois 60050.
Kaguo Orodha ya Tabia Zinazoonekana
A.
Tumia habari
___1.
Panga habari tayari kwa kuwasilisha
___2.
Chagua njia zuri ya kuwasiliana
___3.
Tumia habari kujibu maswali na kutatua
matatizo
___4.
Tumia mbinu ulizochagua
___5.
Ridhisha mahitaji ya habari
___6. Heshimu
maandishi ya wasomi
B. Changia Elimu Mpya
__1.
Wasilisha elimu mpya kutumia mbinu
zilizochaguliwa
__2.
Andaa andiko la kwanza
__3.
Hariri na kurudia
__4.
Nena mawazo yako kupitia kuunda, kusema, kumba, kuandika nakusanii
__5. Nena mawazo yako
kupitia
video, ripoti za za utafiti,
majaribio, komyuta,
mawasilisho, picha za kutembea.
Rejeo
-
Pappas,
M.L., & Tepe, A.E. (1997).
Pathways to knowledge :
Follett's Information Skills Model (3rd ed.).
McHenry, IL: Follett Software. Available:
http://www.pathwaysmodel.com/the-model/text/communication.cfm
-
- Mfano
-
- Wanafunzi wa secondary wanaosoma
historia walikuwa wakijifunza kuhusu vita vya
wenyewe kwa wenyewe. Waligawanyika katika makundi kufanya utafiti wa kuandika
tungo, ambayo ingewasaidia wao kujiandaa
katika mambo Fulani Fulani zinahusiana na
kipindi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Kila kikundi kilikuwa kinatakiwa
kuchagua njia nzuri za kuwasilisha habari kwa
wanadarasa wao.
Wangechagua kutokana na maigizo,
mapambo ya darasani, mingao, video, au miundo
mingine au miunganisho ya mbinu zote hizo kwa
ajili ya kuwasilisha mbele ya darasa.
Wanafunzi walitakiwa kuunda mazao yao
wenyewe na kuwasilisha habari zao mbele ya
darasa. Mtaalam wa maktaba na mwalimu aliwasaidia
wanafunsi kutathmini miundo ya habari zao.
|